RSS

Cici kitaani

 Flat shoes na kawallet mkononi......zaidi ya safi

  • Digg
  • Del.icio.us
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • RSS

Hair Do






  • Digg
  • Del.icio.us
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • RSS

PROUD MOM

Haijalishi ilikuwa mapema,au kimakosa,kukuzaa wewe was the best thing i've ever done. Am very proud of you na natazamia mafanikio mengi makubwa kwako.
Sikuwepo nyumbani kushuhudia wakati unaanza shule (baby class) kwa sababu nami nilikuwa chuoni lakini namshukuru Mungu nimeshudia siku ya kwanza unavyoingia middle class.Ni furaha ilioije . Thanx to bibi kwa kuwa nawe siku  zote

Kisses to you na bibi

  • Digg
  • Del.icio.us
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • RSS

SIKUPITAGWA NA HII STYLE NA MM

  • Digg
  • Del.icio.us
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • RSS

HAPPY BELATED BIRTHDAY MY BABY SISTER

I may give you any birthday present you ask for, but it will never be enough compared to the present that you are to me.You are such a sweetheart babe! You have been the oldest friend I have ever had and no matter how horribly we fight, the truth is that I have always loved you and always will.You stood with me every time I snapped. You made my every childhood experience, a memorable one. Thanks for everything. May God bless you with all his love, luck and care. 

  • Digg
  • Del.icio.us
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • RSS

NIMERUDI TENA

Habari zenyu banaaa
Nabisha hodi kwa mara nyingine tena baada ya kuwa kimya kitambo kidogo.Ni michakato ya hapa na pale ndio ilinificha,katika maisha yangu kwa kipindi kidogo kilichopita kitu cha kwanza kabisa kilikuwa shule hvyo ilinilazimu kuchukua muda wa utulivu ili niweze kufanya vizuri mitihani yangu ya mwisho.Namshuru sana Mungu nimemaliza salama japo kama wasomi mjuavyo kuna jiwe la supp ambalo nami nimejikwaa,hope kwa sala zenu na juhudi zamu nitatoka.

Ni mengi yamenipita lknkizuri ni hiki,wakati narusha hii blog sikuwa najua kama kuna watu wanaitembelea lkn baada ya kuwa kimya kwa muda fulani nikapata msg kutoka kwa mtu akiniuliza kuhusu ukimya wangu na kuwa  anaipenda hii blog.Asante sana mdau na ntajitaidi kadri ya uwezo wangu kuwa active muda wote


Nashukuru  tena na tena na naomba tuendelee kuwa pamoja. Nakaribisha ushauri pia


xoxo
Bossy Chick

  • Digg
  • Del.icio.us
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • RSS